NHIF Backdating

Can someone register for NHIF then pay some cash to “backdate” and then use it immediately?

Tafadhali wacha ukora. The best time to get NHIF was anything more than 6 months ago, the next best time is NOW

I’m ready to pay for the past 6 months or even 12

Lol…Boss hiyo sio ujambazi? You can’t expect to pay 500×12=6000 then expect NHIF to clear your bill immediately,which can easily run past 100k. That’s a very bad business practice which no organization can entertain. 60 days waiting period lazima,and 28days for new spouse introduced to your card. Hapa hakuna shortcut. At the very least watu wachukue the basic NHIF health cover ata kama umesota aje, when you fall sick na hauna kakitu ndio utajua umuhimu wa hiyo card.Nimeona hii card ikilipia mtu about 700k kenyatta General ward, kutoka hiyo siku niliheshimu umuhimu hiyo card kabisa.

Wah. Noted.

Kweli kabisa. Hii kadi watu wanaidharau sana lakini inasaidia. Siku jirani alipeleka bibi yake pale Aga Khan kufanyiwa operation NHIF came in handy. It cost him close to 800k.Imagine hangekuwa na NHIF…

Kwanza kuna hii ya self employment unalipa 500 per month. Iyo ndo nimekuwa nikilipa tangu job ikatike.

I think it is very very wise to pay for NHIF subscription… it is muuuch better than most of the other insurance covers… return on investmnt much higher and the chances kurukwa when you are admitted is much lower than the other private covers