Nataka kufungua duka la jumla pipi,Mafuta nk..

Habari Wana Kenyatalk

Mapema Sasa nahitaji kufungu duka la jumla la bidhaa mbali mbali

Mfano pipi, big g, madaftari, kalamu, karata,bosckuti, sukari.nk…

Naomba muongozo wa hii biashara

Wapi nitapata bidhaa hizi,vitu gani vya muhimu ninatakiwa kuwa navyo

Tayari niko na mataji wa milion 30

Karibu

uliza mama suluhu

Uliza bingwa

:D:D:D

Acheni roho mbaya wa Kenya,

NiNi kinakuchekesha

majibu

Bingwa ndo Nani?

Unataka kufungua Kenya ama Tz?

Mfanya biashara msomali, tapeli

Tz nahitaji experience for Kenya nimefanya research nimegundua Kenya kwenye biashara ya wholesale shop wamepiga hatua kubwa

why ananipeleka kwa tapeli

chunga mhehe @T255 asiisome hii comment yako. Kwa mtazamo wake, Mtanzania kukiri kwamba wakenya wamewazidi watanzania kwa jambo lolote jema ni usaliti mkubwa ajabu.

Kulipiza kisasi, atamchunisha mkeo “sukuma” - kama ilivyo kawaida yenu wabongo.

Ukweli acha usemwe Kenya kwenye wholesale shop mmepiga hatua kubwa

Pipi ndo nini haswa ?

Candy / sweets

:smiley: sikujua maana ya “handle” yangu. Asante

Huku Kenya twaziita FMCG(fast moving consumer goods). Vitu ambavyo vinaenda kwa kasi. Kwanza katika wholesale lazma bei iwe chini. Ili kupunguza competition kati yako na wauza ‘reja’(retailers). Retailers wanafaa wawe part of your customers. Tena pia uwe chini kibei kuliko supermarket. Ili wale ‘washamba’ waweze kuja kwenye duka lako.
Kwa hivyo bidhaa zako mpka uchukuwe kutoka kwa wanaotengeneza(manufacturers), distributors(wasambazaji) ama ujiagizie mwenyewe(importation) kama watoa nje kama Kenya. Kila la heri

Nimekuelewa vyema mkuu,

@pipinono, huyu anakutaka :D:D