Naomba msaada

Habar wanajukwaa,naomba mnisaidie namna ya kuwasiliana na mtu pm kwa kuwa najaribu kuwasiliana na admin naona inashndikana!

Hata mimi sijui

Kwani unatumia nini, simu au computer?..

Natumia cm Mkuu!

Ingia kwenye profile yake kisha angalia kitufe chenye alama kama bahasha (nadhani sijakosea)…

Kuna shida pm

Kama ni tatizo tag admin hapa kisha weka ujumbe

Bado hujarudi nyumbani kumbe!

Kule sina mpango wa kurudi

Dah! Pamoja na kua pamenoga

Sijajua lakini sio mwaka huu mwaya! Wacha nibaki huku tuu

Lakini inavoonekana ulinzi na usalama huku ni wa uhakika kuliko home eeh Sakayo:(?

Basi tutakua tunakuja kuku salimia na kukueleza yanayojiri huko nyumbani

Nashukuru sana Sesta… Mie nipo hapa! Ulinzi wa kutosha

Wee kula tu mema ya nchi Sakayo after all East Africa ni kama nchi moja tu japo wenzetu Wakenya naona katiba yao imewaongezea sana uhuru hasa uhuru wa kujieleza watu wao

Vizuri sana kumbe utarudi

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nampa moyo, nitarudi labda miaka ijayo

Sawa Sesten