Nagging dead beat parents

I lived with parents for very few traumatizing years, i think until i was 5 when my shush took me under her care and saw me through to cumpus.

For the longest time both my mum and dad were not a bother, lakini sahizi age imewagonga some sickness here and there and then hawaishi pamoja, mother ndio kisirani ile kubwa lakini all of them are irresponsible.
I have been ignoring my mother all through hadi akazoea shida ni huyu mbaba sasa ju ya maulevi na masigara he got diagnosed with some sickness amekua very nagging pesa hapa kule mtu mwenye amekua absent in your life like forever.
Swali ni je ju sina pesa as such, will i spend on my little sister na mimi kujipanga nisikue a poor irresponsible parent kama wao ama do i start taking care of a mother fucker who has been drinking and making mery as you suffer na sasa anaugua magonjwa ya kujiletea.
How do you deal with these cases?

Heshimu wazazi naniii.

Kama ni real parents, wasaidie lakini usijisahau.

Usiskize hizo nugu zime-comment juu yangu. You reap what you sow, choices have consequences. Acha hao washienzi wawili waendelee kujilea vile tu walijilea wakati shosh alikua anapambana na wewe.

Just try to balance but your number 1 priority should be your sister & cucu…

If I were you I would focus on my sister.

Tricky situation. Hapo naona garbage in garbage out. Since you are not a birrionea, itabidi uwachoree tuu. I am a ruthless pragmatist and for that reason, kama watu ni deadbeat they are dead to you. You were dead to them for many years. Don’t feel any guilt ignoring their calls and messages.

Shosho yako ndiye baba yako na mama yako. Wazazi wako usiwatusi lakini chorea mambo Yao kabisa hata inheritance, usije ukapata curses and other bs.
Chochote inawahusu chorea. If you can pull that through then you have no blemish man.

You don’t have to submit to those that never wrote your course for well being.

They made their bed.

Respect goes both ways.

Tenda wema nenda zako

Nyinyi ndo wale munateteaga wazazi hata wakiwa wauwaji. You remind of a long time case where the father was shagging his two daughters. The wife knew it also the eldest son but ju ya “heshimu wazazi nanii” ,one daughter hanged herself at 16 ,the other one was taken up by relas…pregnant carrying her ,son,brother,grandson all in one. Useless comment. Respect has lines ,their status as parents will not fade,ujinga ndo wangepunguza and focus on their kid

Heshimu wazazi nanii.
Usikuje kusikia mzazi anazikwa halafu machozi yakaanza kukudondoka ati unakimbia huko last minute unanunua coffin ya 250k na suti ya louis vuitton na italian mocasins baba azikwe naxo…baba/mama alikutaka sahile wako hai wewe unaenda kuweka slab na tiles kwa kaburi uki hire catering kulisha umati…do something that will make you proud hata kama mzazi hata sema asante kwa mdomo…baraka atakupa kimoyo moyo…usitafute machozi ya kutosaidia mzazi…izo machozi huwa za uchungu sana and you will be left worse off.

Im looking out for you as a friend.

Ni wazazi wako…sio wazazi wa talkers…choose wisely. Sawa?
I rest my case.
You only have one chance to do it right. Dont make a fool of yourself.

I hate to tell you this, but you will have to ignore your parents for a long time and focus on your younger sister and shosh. Remember that your resources are limited and you have to allocate them to those that matter. Your biological parents have already shown that they never really cared about you - wakule ujeuri yao. It is a tough world and there are consequences.

You should ignore your dad and mom, not because you hate them, but because you have to survive. They have already shown that they dont have your back, why would you risk your money and future to have their backs?? Its stupid. Your only priority now should be your grandma and your sister. Everyone else is dispensable.

If you were a “birrionea”, I would have told you to help your biological parents but since you arent, you have to choose between securing your future, or spending your life savings on people who never cared about you. You will have to make very difficult decisions but that’s what being a man is all about.

Shush ata hananga noma alikua amejipanga proper anakuanga loaded labda tu ile ya shukran

Ukweli mtupu, nasemanga pia mimi niki abandon familia and it happens that this is how how i will suffer for it, so be it, i deserve it.
It’s time we put aside these bullshit ya exalting deadbeats while in real sense walikua wanajibamba and i came about

When you were struggling as a kid with no hope, budako alikuwa anakamua lanye na kuchafua meza :D:D:D

Now you are supposed to forget all that just because he has your blood? Fk that shiett

Well, ukweli ni ati i cant lose an ounce of sleep ama niskie kasadness ata kadogo because of their passing away as long us I’m not directly involved, ata burial kama si ile kuficha image kwa watu siezi attend and yes they are my biological parents na sio stories

Secondly i don’t believe in blessings ama curses ama uchawi. I do things because i want to, not that i fear anything.

For once nime understand kwanini diamond hapendi kuskia budake kabisa, i mean this guy was drinking, dancing and eating chom with friends as my granny was struggling to raise my fees. And then mtu ata hana aibu

You can’t ignore your real parents for long since one is sick & can exit permanently any minute.

Divert 5% only not the 10% you donate to your religious leader( if you have one) and make a big change that will earn you lifetime blessings.
Those cheering you might not be aware of their parents existence ( former street families or something like that) so they have no pain to hurt someone they don’t know. YOUR CASE IS DIFFERENT ( UNAWAJUA NA UNASHUHUDIA NYUSO ZAO ZILIZOKUNJIKA KWA UPWEKE , UFUKARA NA HURUMA ).

Relax, sober up & re think about it & your future peace.