Hodi hodi Wakenya, leo nimejiunga nipate 2 kwa 3, pia niwafundishe lugha kwa ufasaha na nyinyi pia mnifunze kilugha cha kwenu.
Tanzania tunawasalimia
MYAHUDI JR
Hodi hodi Wakenya, leo nimejiunga nipate 2 kwa 3, pia niwafundishe lugha kwa ufasaha na nyinyi pia mnifunze kilugha cha kwenu.
Tanzania tunawasalimia
MYAHUDI JR
Pewa kiti kwanza
Nani anakaribisha na mtoaji, aitwe hapa
Keti paaale---------->
What was your former handle
Fcuk off.
Watanzania tuliwaambia mjikomboa kutoka kwa utumwa wa kimawazo. Wewe hata kwenu Bagamoyo hujawahi kutoka, il’hali upo hapa unajiita Myahudi.
Yahudi wa wapi wewe?
Uzi wa umeffii
Wewe mkenya una hasira na mimi kwa kitu gani?? Hama kwa shemeji yako kwanza ndio uje kwangu
Utumwa wa kimawazo mnao nyie, ndio maana mnabaguana kila kukicha mluo/mkikiyu
Mimi ni Myahudi halisi
Akienda mniambie
[ATTACH=full]312633[/ATTACH]
Humbwa tucker tucker ghaseer
Mbwa amefanyaje