Tunakushukuru Mungu kwa kusikia kilio chetu, ingawa ni cha muda mrefu, lakini tunaamini wewe huwa unajibu kwa wakati muafaka......
Imagine tuliomba amwagwe tokea enzi ile alipopigwa risasi Tundu Lissu miezi zaidi ya 9 iliyopita, majibu ndiyo yamepatikana Leo!
Bado IGP Sirro naye siku zake zinahesabika....
Dawa ni kufanya kazi kwa weledi na siyo kwa kupokea maelekezo toka juu!
Imagine tuliomba amwagwe tokea enzi ile alipopigwa risasi Tundu Lissu miezi zaidi ya 9 iliyopita, majibu ndiyo yamepatikana Leo!
Bado IGP Sirro naye siku zake zinahesabika....
Dawa ni kufanya kazi kwa weledi na siyo kwa kupokea maelekezo toka juu!
Last edited: