Mwenye eaphone kama hizi alete nimpe pesa

[ATTACH=full]179775[/ATTACH]nichek telegram @TomaaMireni

Mbona ziko nyingi sana mitaani au there is something so unique about them…?

Uko wapi?

Sijui ni mimi tu nimeona…?
Shuka -Bendera ya Chadema?

Utakuwa unapenda sana kulala inaonekana.

Hujakosea na utabiri wako…

:D:D:D ulikuwa unatafuta nini kitandani?..

Hata sijui, macho yameona tu…:oops::oops:

Okay, nipe zawadi ya ubashiri sahihi.

Ifuate chemba

Imebaki historia sasa toka 2015

Mtaani kwangu hakuna,zinakuja na Tecno cx