Muda mwingine afadhali sana hapa kuliko JF TZ

Wanakera kuunga kila kitu hata vitu vyenye maudhui ofauti kabisa. Bure kabisa JF TZ

Mada zingine tuwe tunazileta na huku, wakifuta kule inaendelea kubaki huku

Huko kumepoteza ladha

Nadha

Nadhani zingeanzia kwanza huku,kisha zipelkule kule

Hapo sasa itakuwa ni jukumu la muanzisha mada

Bora huku mkuu, kule tumebaki mazoea tu kama wafanyavyo wanandoa

Wazo zuri sana mkuu, naunga mkono hoja

Poa poa mkuu

Pamoja sana mkuu:D

Ndiyo maana mimi najitahidi kuweka huku na kule, maana kuna wakati unaposti kitu halafu baadaye hukioni kumbe wameunganisha…

KINACHO BORE ZAIDI JF UNAPOST HABARI JUKWAA LA HABARI NA HOJA MCHANGANYIKO, WAO WAKIONA HABARI IMEKAA KIUCHUMI WANAIPELEKA JUKWAA LA UCHUMI , HAWAJUI KWAMBA JUKWAA LA HABARI MCHANGANYIKO LINA WASOMAJI WENGI WAO WANAKUONA ULIYEPOST POYOYO WANAITOA HUKU WANAIWEKA KULE

kama una issue sensitive leta huku. Kule watafuta au kuificha ndani ndani (kuiunganisha)

Halafu wakorofi, watu wamelalamka weeeeeeeeeeeeeeeeee, wala hawabadiliki.

Naunga mkono hoja

Hao walinzi wakinyaruwanda unafikiri wajinga, watu wako nchi ya watu halafu wajifanye wajuaji, nao wanapenda kuishi na sizani kama hata wao kama wako happy na hiyo hali.

Jf saivi hamna jipya

Anyay, kwa mazingira ya sasa ili waweze kuwa hewani at some point have to surrender their freedom of press!

JF Tz serikali inaitolea macho sana…

Cc: @Mahondaw