Msedes Chronicles

C&P
Kitambo kidogo mimi na dere wangu tulikua tumeingiana sana especially kunifunza gari na mambo mengine ya barabara though yeye alipenda Rosecoco sana design alikua amesahau hadi family yake kule nyeri…siku moja tukawa na safari ya usiku na kama kawaida yake alikua na tabia ya kuchukua take away wale wa roadside until alipigwa character development na mwanadada flani after kumchukua pale kwa highway…kama kawaida yake alikua ananiwachia gari wanaingia apo nyuma kwa bed na safari inaendelea ju tulikua tunalipwa na mileage so hakuna time ya kupoteza,… After some few minutes nikaanza kuskia sauti za busu nkajua hio ni mate wanabadilishana punde c punde nduru moja kubwa hadi nkakanyaga emergency brakes nikafirikia mzee ameshikwa na muscle pull kwenye mchezo lakini wapi kumbe ni chenye aliguza kwa yule madam yaani “Omuzigidi” wakati aliteremsha mkono pale chini ili apate kushika Rosecoco hapo ndo aligundua kwamba hii ni ndume mwenzake na kuharibia sana wamepeana mate na hio muda yote mzee alikua anadara tenis kwa bra akidhani ni nyonyo apo ndo feelings zilishuka nkajua enyewe huyu mzee anakuanga na hasira ju hadi alikua ameshatuma pesa kwenye pochi la biashara before ile kitendo.ilibidi sasa madam aongee kama mwanaume na kuanza kuomba msamahaa ati sio kupenda kwake ni vile hii uchumi ya zakayo inatupeleka mbio na hana kazi.mzee naye ni nani akikumbuka amefanya tendo la LGBTQ mwanzo amebusu Mwanaume mwenzake anatokwa na wazimu,ilibidi makofii zitembee hadi make-up na wig hakuna mtu anajua mahali zilienda kitu ilibaki ni zile tenis mzee alipelekea watoto nyumbani wakachezee after manyahunyo kama 370 kwa yule jamaa.

336890852_907267860560725_2468200788770486880_n.jpg

GifMeme01434208012023.gif

:D:D

1681812294514.png

melia wachanga matusi kwa bouss

Iwe funzo