Kabla hajapata hili tatizo, hali yake ilikuwa nzuri kabisa.
Chanzo cha tatizo:
Alipata ajali ya baiskeli kwenye mteremko mkali wa mawe, alipakizana na mwanamke mwenzie kwenye hiyo baiskeli.
Tatizo linalomsumbua:
Akibeba kitu kizito kichwani anasumbuliwa na vitu vinne:
1: Maumivu ya kichwa,
2: Yatafuata maumivu ya shingo ya nyuma,
3: Halafu maumivu ya mgongo,
4: Halafu itafuata kubleed.
-Hii hali haiwezi kumletea matatizo ya kizazi?
-Hii hali inaitwaje kitaalam?
-Atumie dawa gani ili tatizo liondoke kabisa?
Ahsanteni.