Nani hucheza aviator?
Made 270k from 16 bob…leo wamekula hio pesa yote…I quit betting
hakuna mtu atajoin kulwa pesa pekee yako
Kwani unatubeba ufala aje?umange 270k alafu uwache ikunywe maji ivo?
Huyu ni mboyz wa Jaba na ndoto zao nyingiiiii… Wachana naye.