Na Mimi naishi na babayangu Kwa babake utasema aje
:D:D:D
Very common among Indians and some coastal communities
Mimi Niko kwa baba yangu pia. Sina pressure. :D:D
wahindi wanaishingi several generations kwa nyumba moja from 103 years to newborns.
wale wadosi wanaishi kwa gated community
With how the GOK is shafting youth unataka waende wapi? Kama youth wanashinda wakifanya kazi kwa street wanakosa kulipwa…
Kila mtu anajua hapa mimi niko kwa mathe. No pressure. Kama hakuna kazi siezi teseka bure na mathe ako.
sema ni vile hutaki some type of jobs
Unasema nini boss?? Okay nishow ni jobs kama gani sitaki…
Wewe siyo Muhindi.
uhunye style
ni kuandika nimeandika tu. najua mimi sio muindi
Theres alot of job created by Kamwana Govt. Go to Lamu (LAPSETT), road construction across the Country, SGR etc. Kazi haikufuati home
Hence make reference with our culture.
Ni kama umkataze Mtu asifanye faggs things halafu atokee jamaa aseme mbona hata Ulaya wanaume wanaolewa na wanaume wenzao
Masaibu ya 844 system ,you can’t live life by copying and pasting!!! You have to think originally and faster to survive and thrive.
mjengo
Tall mnyama alikuwa amehama kwao akiwa 27 but after corona amerudi nyumbani na huko atatoka akiwa 40
Mahali niko mjengo haipatikani banae.
Haha very funny