mmmmmmh! mahakama zetu

hivi ni kweli lipumbafuu kashinda kesi na kuwa mwenyekiti wa CUF,lakini hatushangai kwasababu bwana yule maraika mkuu anawalipa majaji wetu mishahara yao,ni sawa tu alivyooamua,maana ake lazima atete tumbo lake,ujaji bila mshahara hauna maana