GIDO LAKA GIDO.
-Picha la Kihindi,TISS walikuwa wanaweka mafuta kwenye gari,Zakaria akatoka na bastola akawapiga TISS wawili kwa bastola,wakati huo huo Zakaria ana bastola wakashuka TISS wengine wakaja kumyang'anya zakaria bastola,hao TISS walioshuka walikuwa hawana bastola ndio maana hakukuwa na majibizano kati ya hao TISS walioshuka na zakaria baada ya wenzao kupigwa risasi,TISS hawana bastola huku wakishuhudia wenzao wamepigwa risasi wameshuka wakaenda kumnyang'anya Bastola zakaria,Future is exciting,are you ready?