waganga wote wote wa JF mnahitajika katika MKUTANO WA DHARULA kufanya makaratee kuhakikisha JF inarudi hewani haraka iwezekanavyo
vivyo hivyo kutengeneza SQUAD moja hatari kumpiga nalo JIWE aachane na mawazo ya kuwaita MARAIKA wafunge mitandao
cage clay andaaa mitambo hakikisha kila kitu kinakwenda sawa
“Huwezi kuilinda bahari ukilinda huku watu tunavua Kule acha roho mbaya”