Mke wa RC ameshakifungua?

Nina zawadi za mtoto ninauliza wifi ameshajifungua?

Tumsifu tu Mungu. Ya yule bwana yanaenda mbele na kurudi nyuma!

Katika haya tusifanye Mchezo…!!! Tumuogope Mungu…na Mada hii iishie hapa

aisee mbona walisemaga…

hamna anachofanyaga kinafanikiwa hata kama ilipandikizwa china Mungu anaitoa tu kulipia damu zake

Sijui aki

kwa nini iishe kabla hatujachangia

Nasema hivi mwache Mungu aitwe Mungu, acha kwanza kiburi cha madaraka kimtafune, Nani atamuombea wakati keshaharibu kila mahali