mjukuu wa Moi

mjuku wa rais mstaafu moi afikishwa mahakamami Nakuru kwa wizi wa simu…hii ni noma kwani mali hazijafikia wajukuu???..anakaa tu peasant mashidashida… source ni NTV jioni…ama ni mimi nimeona zangu??

Maybe another Moi ? Impossible.

I think ni wale hupata mali wanaamua kuishi maisha ya pombe bila kazi. Kuna jamaa mwingine babake huitwa Tharau hapa kach. Huyu Tharau ni masonko wenye mtu huskia wanaown several buildings in the town center and in other sorrounding towns. Lakini huyu boy huunda simu kwa zile vibanda za kanjo. Ata sidhani anajua kuunda simu coz ye huwa mlevi 24/7. Anajuana na wasee wengi town including masonko coz of the father’s influence but hizo ni connection useless coz hawezi jisaidia nazo. Akikupa story ye huanza na ‘babangu ni Tharau’ then anakukumbusha ‘mi nlisoma IT China na UK lakini budangu akakataa kunipeleka US ninalize degree coz alioa bibi wa nne’. He is broke and so full of shit and I doubt any inheritance will ever help him.

nimecheki hii story pia kwa www.the-star.co.ke…ni mtoi wa nyargen

Juzi pia wa njenga karume alipatikana na madree

Ni mwanawe Jonathan Moi ( yule Jonathan aliyembaka Julie Ward kisha akamuua.)

Hawakufunzwa pesa hazichunwi kama strawberries. They don’t understand how to make wealth.

lakini opportunities ni kibao kwa mali ya hiyo family… maybe wamecursiwa not to come near the wealth…

mtu kuwa na utovu wa nidhamu ni a personal choice sio mahali alizaliwa, mtoi wa sonko atakuwa na tabia ya kunywa ma 3rd generation na madree kama venye mtoi wa maskini atakuwa tuu., bottomline is how one is behaved is a personal choice not how welloff or reknown the parent is or is not

If you steal tens of billions and your grandson is out there stealing phones was it really worth it ?

Ii ujinga usilete apa peleka uko kwa page yako ya FB

Ati he stole from his daughter. Hii ni upuss.

Haiya! Kwani @snapdragon huwa mkale?

Upuzi ni kumamako. Ukweli ndio hiyo.

Hehehe!!! I would answer you back but life is too short, just like your d*ck

Huyo Tharau anakuwanga miser sana yeye hunyima watoi hata fifty bob ya kunyoa nywele , 2007 post elections watu walimvamia juu ya huo uchoyo wake .

I thought so too. Shida ni ati hio pesa yake itakuliwa na lawyers iishe coz I think kuna some sort of inheritance tussle among all the co-wives and their children.

I know that family…

I know family…wenye lady tharau!