Wakuu, popote na kokote alipo mis natafita mwambieni namtafuuta. Tulihaidiana kuoana muda mfupi kabla ya jamii forums kuhamia Kenya.
Mpenzi miss natafuta. Kuja huku. Mahali ipo mkononi sijui niipeleleke wapi?
Wakuu, popote na kokote alipo mis natafita mwambieni namtafuuta. Tulihaidiana kuoana muda mfupi kabla ya jamii forums kuhamia Kenya.
Mpenzi miss natafuta. Kuja huku. Mahali ipo mkononi sijui niipeleleke wapi?
pole sana mkuu ila mie sijamwona pia ila ukimwona mchumba wangu MAMA SABRINA mwambie nimemmiss sana tena sana,
kama sikosei alikula ban
Na huku kuna ban?!
yupo dubai anakula bata
Haahahahah nipo hapa bana halaf mimi sio mchumba wako muone
jamani we ndo MAMA S mchumba wangu wa ndotoni?
Ndip mimi ujue hivyo,niko busy ndio maana waona kimyaa halaf tushazoea jf
sawa mama pole kwa yote majukumu
Bado Anatafuta Kama Jina Lake
wengine wana ID tofauti na JF lakini wapo humu pia
Kama mm tu
Mwe
Mwenyew nilibadili ID jiwe asije kunigundua
kuwa makini hapa uhamishoni watu wamebeba mizigo yao na id za watu pia
Kama ulimpigia nyeto, naomba umlipe chake tafadhali…
Naunga mkono hoja tafadhali
Duhhh…
Ujue ukibadili ID ni kuikosesha nafsi furaha iliozoeleka wallah
Vuta subira mkuu atakuja na ahadi yenu itatimia
Aikula BAN
mods hawakupendezwa na lugha yake…jukwaaa la matangazo wameweka hilo la yeye kula BAN
Itakuwa karudi na ID nyingine