@meria saidia

Mr @Meria Mata saidia kijana ya kibwezi…nmejaribu kupata FTA channels sipati…dish iko 6ft…lnb ni cband ya stargold

@Jazzman pia alikuwa gwiji wa hizi vitu

Ni channels gani watafuta ndivyo tuchunguze kama footprint yafika eneo hilo?

Za nilesat

Zinaweza patikana lakini chache kisha tena Nilesat ni Ku sio C band. Tafuta LNB ya Ku ya kutumia kwa prime focus dish for best results.

:eek::D:D:Dforrowing for my clan.

:p:D:D:D