Mdomo wangu umebaki wazi..... tehteehhh

Samahani ndugu wajumbe, ingawa nimechelewa kufika…
Naomba kuwakilisha

Ushimen ni wewe kweli? mimi ni @KheriHansen

Mkuu, huyu ni mimi wa ukweli aiseeeee

Karibu mkuu,
Lakini unawakilisha nn

Nawakilisha lugha tatanishi…tehteehhh

:p:p:p:p:p:p:p:p:p:p:p:p:p

KARIBU UHAMISHONI

Asante sana comrade…

joseverest malaya wako mahondaw yuko wapi?? mbona hujam cc?

Mkuu naona umechanganya mafolder na ma-file aiseeh

let me confess today…i fucked your bitch. kupitia Pm na outings za kimya kimya nikala mzigo…she cheated on you bro. nilikuwa nasikitika sana nilipokuwa namkula that evening…im sorrry bro

hamna…ni wewe na mpua wwako original. na ni ID yako mpya hapa maana inasom “village elder”…huoni sisi wakongwe sinazoma SENIOR VILLAGER??

Usijali sana. Kawia ufike

Nikweli mkuu

Samahani @Ushimen wee ni me au ke? (kwa sauti ya JF ya kule nyumbani mtu anapoingia na kujitambulisha) hahahahahaahahah

Tehteehhh…
Naona ugenini pamenoga

:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D

Ila leo kidogo nimeenjoy, juzi na jana yaani nilijiona mpweke kweli

Taratibu utazowea mkuu

Nimeshazoea hasa baada ya kuona akina @Miss natafuta, @Shunie