kiukweli toka lile joto la maandamano ya mange lianze na ule waraka wa maaskofu utoke kiukweli matukio yaliyokua yanatokea nchini
hata huyu dikteta khabithi amepooza
Nje ya mada. Hivi na huku kuna BAN?!
Wewe mleta mada, Jenesta Mhagama na Angela Kairuki mlikataa uwepo wa matukio yale, leo una shida gani?
ban za kishoga huku hakuna kafa nazo melo huko jf
Hakuna ban wala nini we mwaga vyombo tu. Wakenya hawa ya kwetu hayawahusu
Kwanza kwa kiswahili ninachoongea na matusi yalivyo ya kiwango cha juuu, sidhani kama wakenya wanaelewa
ndo raha ya KenyaTalk hiyo