Matatizo yote yalianzia hapa...

[ATTACH=full]183646[/ATTACH]

Alichorwa hapo kwa muonekano wa kutia huruma, kumbe kilichokuwa moyoni alikuwa anakijua mwenyewe

Kuna mtu hapo bichwa lake kama tofali :D:D

Kuna watu wameweka dizaini moja ya mikono…!!! then linganisha na hali Halisi ya sasa…!!!

Baba Mwanasha katuweza kweli wabongo , loh!

:D:D:D…

Kweli kabisa matatizo yote yalianzia apa