Majirani

[ATTACH=full]179219[/ATTACH]

Wenzetu wanao uhuru mpana zaidi

Hongera zao

Huo ndiyo uhuru, wanaelekea kuzuri sana. Uli kulinda uhuru ni muhimu kuvumilia hata usiyoyapenda.

Kwetu wana uhuru wa kuliwa bila bugudha

Hmm! :eek::eek::oops::oops::slight_smile:

hahahahah

naweza kupata kwa ufupi “job descriptions” zao?

Kupapasa ni bure. Nguo zikishavuliwa ndo hela zinaanza kujihesabu. :D:D:D