Hii ni kwa wabongo mlioko huku; huu wimbo umeimbwa huku kwetu 254 nafikiri umekuwa kama anthem mpya manake nauskia kila mahali. Jangwa ni kwamba sielewi unamaanishaje.
Naomba mmoja wenu atupe lyrics na tafsiri yake kwa lugha ya kimombo tafadhali. Maelezo kiasi pia itasaidia. Background kama iko pia isikose
Kuna yule artist anaimbaga “hizi ni zako… Hizi ni zangu…hizi ni fundamental.” Niliipata hii song online accidentally but since then its has been my best song from Kenya.
Very funny, mediocre, and wack song…its way more imperfect though I’ve learned There is beauty in imperfection too.