Bobby alikuwa analinda nyumbani kwa kigogo mmoja. Bado ninakusanya data
Hatariii.ngoja tuone watavyofichiana siri
Kusanyakusanyaa kisha zimwage hadharAni[emoji16] [emoji16] [emoji16]
Haaaaahaaaaaaaa
Duh…
Hiyo ni hatari, lakini ni vyema wakizikana wenyewe kwa wenyewe…
We Sky Eclat wewe, kumbe na wewe unaishi kwa washua?..
I wish mkuu
Huyo bobby atakuwa mahiri sana maana kawa kama gold saivi.
Mmmh
Umeniacha
Kuna aliyemchukua bobby awe mlinzi wake binafsi
sio kwa baba k kweli
Yua veri kleva
Anatuambia siku zote yuaishi kwa mtogole. Shida ni kuwa niliwahi kumuomba anitafutie chumba cha kupanga niwe jirani yake lakini weee!
Ndio maana kangi kanywea sio, anaogopa yasimkute ya nape.
Ninja hamuwezi Joyce wowowo
Hahaahahaaa
Ninja na wowowooo Nani mtabe
Wanafundishwa lebanon na askari wake! ni madectective wazuri sana wa silaha na madawa ya kulevya! wana mafunzo ya nguvu kwa ulinzi na mashambulizi
Ndo nani bobby