Kwa sasa KenyaTalk haina mobile app hivyo nawaombeni wakuu,tuendelee kutumia browser mpaka pale app ‘itakapopatikana’
Tuwe wavumilivu,wenye subra pamoja na hekima.
The Tweet.
Kwa sasa KenyaTalk haina mobile app hivyo nawaombeni wakuu,tuendelee kutumia browser mpaka pale app ‘itakapopatikana’
Tuwe wavumilivu,wenye subra pamoja na hekima.
The Tweet.
Hatuna namna zaidi ya kupambana na hali zetu mpaka hapo itakapopatikana
Mbarikiwe aliebuni sie tuhamie huku
Kwa muda usiojulikana
Kenya wapo nyuma sana
Shukrani kwa updates mkuu
Mnashindwaje kutrbgrneza app?
That’s why tumesema tuwe wavumilivu wakuu.
@The Tweet naomba kuuliza huku Ban ni nje nje au tunaserereka na reli? na kama itawezekana naomba njia ya kwenda jukwaa la wakubwa
Ban haziko nje nje ila usizifuate zilipo.
Jukwaa la wakubwa huku halipo.
Sawa Moderator kwa Ufafanuzi
Mod embu fanya maujanja lile jukwaa la wajasirimali wa kweli wazee wa kubeti na kuweka mizigo liweze patikana apa maana world Cup ndo hiyooooooooo tunahitaji kushare na Ku analyse tips
mnashindwa nn kutuwekea tupunguze stress mkuu?
Tutapambana tu haina shida
Bwana mod nataka kutupia uzi wa picha niweke jukwaa gani?
Weka Chit-Chat.
Tutaleta PhotosForum. baadae
The stone akitufurumusha huku, tuhamie wapi?
ITAPATIKANA LINI…AU NDIO YALE MAMBO YA TZ…TUNALISHUGHULIKIA TUPO KWENYE MCHAKATO???
Unabaki na sim yako tu kama toy bila jf kwangu n mtihan alahmdulillah imerudi sema hatuwez kureply wala kukwot wala kjanzisha uz
App meionaa iko pouwaaa