King of all Social media(Lemutuz) kufanya birthday party ya kutimiza miaka 40 .are you invited?

[ul]
[li]lemutuz_superbrandLE MUTUZ SUPER BRAND: HOMA YA TAIFA! …hahahaha…naomba kuwahakikishia wageni wangu wote mtakaoshiriki sherehe yangu ya kuzaliwa kuwa …HAKUTAKUWA NA MEDIA PERIOD! …nimesikia the Concern so no Media Coverage …na mtakao kuja na simu zenu zenye Camera Please heshimu Privacy za wengine usimpige mtu picha bila ya ruhusa yake kwanza…kujipiga mwenyewe poa …Thanks Guys! - @lemutuz_superbrand[/li][/ul]

Le Mutuz miaka arobaini bado hajafikisha, sasa hivi ndio kwanza teenager. Kama unabisha muulize rafiki yake Amber Lulu.

Le kokobanga anatimiza miaka ngap??

Zee hili lingekuwa utumishi,lingeshakuwa limestaafu…

Watu wa umri wake kina Mizengo Pinda sasa hivi wanalea vitukuu, yeye bado yupo kwenye Instagram party tu na wakina Ruby. Yaani huyu ndio kama babaako unaweza kulia.

Mmmh

ana mtoto???

Homa kali sana upande wake

Le kokobanga teh

Tukio kama birthday ni lazima ujiweke fiti hata kiafya u know, ukizingatia party itafanyika five star hotel

Miaka 40 na uzee wote ule, kweli Tz kuko na drama. He is nothing less than 60 years

Haahahaa

Akili ya huyu jamaa ni kama Dr Shika au Harmorapa

kumkoma nyani giladi,sauti ya umeme,nye nye nye,le mutuz,le kokobanga
that grandpa really loves himself

hahahahahaa…

this is bongo land

Mojawapo ya kivutio cha utalii, ni hazina ya taifa

Karudisha miaka nyuma…

Ova

Huyu king of all social media yupo na hapa KT?

Yupo