kiburi na majivuno

siku moja pale mbinguni,setasasa.aleta nyoko nyoko, sorry siku moja pale mtaani, si dem aliketa nyoko nyoko, aliiskia nikama thrrrrrrrrrr,thithima.Si fisi imetafta fare imetumia ka light skim kalete slices pale mtaani kwetu mlango moja.kadem kakafika,kupika ,kuosha na shugli mbali mbali za pale kejani koz unajua fisi haina time ya cleaning na kukula ni pale kibandaski kwa mama Pima.chakula kikaiva baadae kastory kidogo kuhusu apa na pale za maisha adi mwendo wa saa sita na robo ivi ndiposa tukaskia makeke kutoka kwa kijana barobaro Mundu mlosi yakisema"yaani wewe ni mtoto ujui kilichokuleta,Kama utaki ,beba kilicho chako utembeze kiatu,uuuuuwi, sasa usiku huu wote naenda wapi,iyo sitaki kuskia, usidhani wewe ndo mwanamke pekee ninae,in fact naita
Juddy rafiki yako saai na tutaona kama wewe ni mwerevu kunishinda.kweli jamaa alikua amepandwa na Mori kupindukia.kidogo kidogo tukaskia sauti ya nduthi,bila Shaka Juddy alikua kashafika.mlango ukabanwa kwa sauti na sauti iliyofuatilia iliskika ikisema, hii kuma ni tamu beib,nilikua nimetamani sana.juu fisi ni fisi nilitoka kwenda kumsaidia aliyefukuzwa na amini usiamini slices zilikuliza.A thousand dollar question ni,mbona huyu mdada akutulia yule jamaa ajimalizie nafsi Yake ajitoe.maringo ya pesa nane peleka uko.kweli waethiopia hawakutupaka mgongo kwa chupa ya mafuta waliponena kwamba, Lady’s who are rude to men only earn themselves more years in their fathers compound. ni hayo tu kwa sasa

ngombe wewe

Omosia Fanya summary:(:frowning:

Mkisii mjinga punguza nyasoore

@Eng’iti hii nyasoore unausia watu wenyu inaharibu

Hii bangi umevuta leo haileti shangwe mblo…

:rolleyes::rolleyes::rolleyes::rolleyes::rolleyes:

Na hatoi mbegu zake!

Hata haikukauka kabla aivute

Hii ni jinga tu. Hata si bangi. Hii ujinga ni congenital… Brary fakin shonde

Meffi

hii Hekaya nimetii mpaka moral of the story fwackin burukenge

Chingeti… Nenda ukacheze na wenzako naskia wamefunga shule

[ATTACH=full]66445[/ATTACH]

Wenzako wanaiba mtihani we uko hapa na hekaya za kaka dubu na kaka sungura. meffi.