Kadco vipi wakuu?

Kuna nafasi za kazi zilitangazwa na kadco vipi wakuu nini kinaendelea

Naona bado braza tuendelee kusubiri.

asante mkuu

mkuu kwani hujapata kazi mpaka leo?

bado mkuu nisaidie

subirin watatangaza mkuu

aisee

Vip umechoka kusubili? Wakat kuna nafac watu walisubir hadi miez 4