Ndio wanafanya marekebisho yao tena?
Ngoja nitulie ukimbizini
Ndio wanafanya marekebisho yao tena?
Ngoja nitulie ukimbizini
Kumbe, mie wamenivuruga sipo huko siku mingi
Wameyumba, ndivyo itakavyokuwa daily
Ndiomaana nasemaga huku sitoki
Mchepuko huu mkuu,nyumba kubwa ikizingua unakuja kuponea huku
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mchepuko ndio habari ya mjini
Ndugu wajumbe, samahani kwa kuchelewa kuleta picha…
Naomba kuwasilisha…[ATTACH=full]185757[/ATTACH]
mchepuko fc
Sometimes bora kuchepuka kupunguza kero
Sasa kinacho nichosha kwa hii nyumba ndogo ni kiswanglish Yao mazeee…
Long time missing here
:D:D:D
Karibu tubonge mambo za Kei…
Hapo wanasahau kwamba hilo neno linanaana ya K. Na ukisema K yako kule Tiziii utaonekana umemtusi mtu… tehteehhh
Thamani ya Mchepuko inazidi kupaa
Wamerudi
Watapata tabu sana…!!!1
Yajayo yanafurahisha…
Na uke wa Kenya ili kujihabarisha zaidi :D:D:D:D:D:D:D