Mlangoni wameweka bandiko hili
JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Asante kwa kuendelea kuwa mvumilivu wakati huduma yetu ikiwa haipatikani. Tunarejea rasmi hewani leo (muda mfupi kuanzia sasa)! Uongozi - JamiiForums
Mlangoni wameweka bandiko hili
JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Asante kwa kuendelea kuwa mvumilivu wakati huduma yetu ikiwa haipatikani. Tunarejea rasmi hewani leo (muda mfupi kuanzia sasa)! Uongozi - JamiiForums
Tunawasubiri ili tuone mlivyobadilika baada ya kutoka kifungoni,je kuna sherehe yoyote ile?
Nalog off
Tumechoka matangazo.
Huku hakunogi 100% kama kule.
sawa ngoja tuweke mduara huku uswahilini sijui wangapi wangapi kwa kula.
Yetu macho
Hakunogi kabisa kiswahili chao Meffi [joke] kabisa
Kwangu imepotea kabisa hata hayo maandishi hayapo,
Afadhali mtu wangu…
Good news, Thnx
Ingia google kisha igoogle jamiiforums click hapo yatakuja hayo maandishi,yasipotokea na huko jua umekula ban(joke)
Ngoja niwe mpole tu maana mwisho wa siku ntaishia kwenye huo ujumbe tu
bado tu
Nishandaa kadi ya mpiga kura hapa.
Ikirejea itakuwa na masharti makali sana.
Wakinitisha email staingia
Hata kama itarudi huku bado kutaendelea kuwa salama zaidi kuliko huko home. Na jf ya huku itakuwa mchepuko wa hiyo ya huko hm kwenye mizengwe.
Ngoja tusubiri.
yan wameondoa hat ile ya kusoma tu… vp mtu wa tcra wa kusain ndo kasain leo…! nasubir zaid
nomaaa dah nafikiri itarejea vilevile kwa mtindo wa kusoma no post
Imesharudi kamili kama zaman