JF imerudi mda huu

Wahi madini kabla hawajapitisha mkasi.

Bado huwezi post chochote

imerudi saa ngap

Tatizo huwezi post chochote

nahisi kutoiamini tena jf
nahisi huku kama nimefika nyumbani

Nimeona lakini hadi sasa huwezi kupost chochote, hata hivyo walipofikia ni hatua nzuri

Kwa sasa huku ndiko kuko huru zaidi kuliko jf ya nyumbani

Nilidhan ni kwangu tu kumbe ni kwa kila mtu huwezi post chochote

Ila PM unaweza chat inakubali

Nendeni mkadakwe

Kumbe ninaweza kwenda kumtumia PM @Babu Asprin

Kwamba mtego? Jamaa kakubali kuwapa key tcra? Hahaha

Watu wa nakuambia PM wanachati vzr huko,means washalog IN

Wamerudi bila maelezo ,wawatoe hofu watu

Ndio babu kijana atafurahi

Umecoment nini baada ya kurudi?

Ila tumekuwa limited kwenye kupost

Naisubiria kwa hamu na mahaba niue…