leteni majibu hapa
Kwani wewe utajuaje kama anampa
Na kama umegundua anampa gundua kwako hamna upendo piga chini
Achana nae.
Majibu yapi unataka kama umeshajua hivyo we ni mtu mzima fanya vile moyo wako unapenda kwa mpenzi wako
Umempa jibu muafaka kabisa tena mubashara
Jiongeze…
Usimpe tena hela
Aendelee nae tu huku ameshajua kuna kidume kingine na hela kinapewa
Huo ni ufala… Bora angekuwa hajui
Hao ndio wale machizi kupenda hata akimkuta mpenzi wake anakulwa hapo anaendelea naye
namtafutia mwenzake then namweka kando
Hapo maana yake una madem wawili. Kama dini inaruhusu oa wote.
Yaan wewe nimecheka sana
Usicheke kwa sauti jiwe atasikia
Nitazidi kumpa pesa
JIONGEZE
Siku nikijua atapata tabu sana…narudia atapata tabu sana
Naunga mkono hoja
Ikiwezekana asindikizwe na makofi mawili matatu kwa kumfanya jamaa zoba
Ahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, mzee baba si ufanye tu maamuzi magumu tu