Nauliza kama kenyatalk ina App iweze kutoa maelekezo tunaipataje.
Nawasilisha.
Nauliza kama kenyatalk ina App iweze kutoa maelekezo tunaipataje.
Nawasilisha.
Kama inayo basi Hapo play store
Hahahaha
Mzima Mummy? afu jana ulivonfanya…!
Mm tena jamani nimekufanyaje tena
Siamini km umeshasahau!
Jamani Slim nikumbushe basi hiki kichwa kina mambo mengi sana