JE KUNA MTU ALIYEONJA KEKI YA TAIFA,MIMI BADO !

[ATTACH=full]181472[/ATTACH]

Hahah!! Adi itaoza hakuna mtu alieonja

Kwanza tujue keki ya taifa nini?.maana jamaaa wana lugha za ajabu

Haiwezi kuoza Davet, kuna watu wana visu vikali na uma zinazochoma vizuri wanaila na kuibugia hiyo keki kwa kufakamia hadi wanakaribia kuvimbewa. Sasa ukisubiri zamu yako ya kula ifike utangojea sana, kuna wanaoila kwa niaba yako

Hahah!! Nimekupata mkuu kumbe kuna watu wanatuhujumu cake yetu…

mwenye keki anawapa watoto wake tu

asee, iyo keki inapatikana wap niifuate

Hiyo ndio hali halisi mkuu

Shukrani mkuu

Msijali, tunaionja kidogokidogo kwa niaba yenu… :D:D:D

Hata waliosoma kwa mkopo wamekula keki ya Taifa.

bashite