Kwa wale waliofika humu tangu jumatatu walikutana na “Tanzanian News and Politics” instead of Jamii Forums.
Lakini baadae wengi wao walianza kuomba majukwaa ya yote JF yawe humu.Hivyo uamuzi ukafikiwa kuwa jukwaa la Watanzania liitwe ‘Jamii Forums’ na liwe na majukwaa yote muhimu.Hivyo si sahihi kusema JF imehamia Kenya.Ni Jukwaa tu.
Kuhusu kanusho hili,nimeisoma habari katika The Citizen,Max amesema ameshasikia na kuona.Ila hawezi kufanya chochote.
JF ya KenyaTalk ni jukwaa tu kama lilivyo jukwaa la Kenyan News and Politics kule JF wala halina “uhusiano” na Founders wa Jamii Forums.
Tusitake kukanusha Mkuu, uhusiano upo 100% ni kama kusema wale wakimbizi walioko Kigoma
hawana uhusiano na Wahutu au Watutsi wakati unaona kabisa ni walewale Kina Ntibantunganya?
JF haijahamia Kenya WanaJF tumehamia Kenya ni Uhusiano Mkubwa huu, Tunachoweza kukubali
ni kuwa UONGOZI wa Jamii Forums ya Tanzania hauhusiki.
Thanks for info, tuliokuwa wa kwanza humu ndani tunajua kilichokuwemo hivyo mmefanya vizuri ili wengine waweze kujua origin, ya kwamba haimaanishi kwamba Jamii forum wamehamishia Kenya Bali hili ni jukwa km lilivyokuwa lile la Kenya Jamii forum