Jamii Forum is back

Nyumbani jukwaani liko hewani

aise kweli is back ila nakutana na huu ujumbe You have insufficient privileges to reply here mpaka nimeshindwa kushangaa itakua wanaseti mitambo safi sana.

Huwezi kuanzisha thread bado

Wametupa access ya read only.
Najua kuna nyuzi nyingi za kuelimisha ili watu wazidi kupata elimu.
Mwanzo nilijawa na furaha baada ya kuona naweza kuacess ila kumbe mambo bado!

Tueudi jamani, japo bado majukwaa hayajafunguliwa hope soon tutaanza kujimwaya mwaya

nashukuru tu PM ipo so naweza kuwasiliana na beb wa jf

Hbr zinakuwa kandamizi sana

Upinzan tunapata tabu sana

Hali Bado tete huko

Hatukurupuki

Hii kt mbona inafungua picha inakua ndogo cc wenye visimu kama mm hata coni vizuri

Nimejaribu kujoin in jf Tanzania na ombi langu kukubarika, nauliza wamehamua kurudi kimya kimya au wamepewa kibari tayari?

Nawasilisha.

Wacha tuende

Jf imerudi ila kupost thread haiwezekani wamezuia. so tutaishia kusoma tu

Tuendelee kujipa muda mpaka mambo yatakapokuwa sawa kabisa

naona kupost no

ukiona hvyo jua mambo yanakaribia kuwa mazuri.

Wacha utoto

JAMII FORUMS IMEREJEA ILA KWA MUONO WANGU SIO SALAMA TENA… WALE JAMAA WA KUBLAST KUWENI MAKINI… YAJAYO YANAFURAHISHA

IMEREJEA