…[ATTACH=full]176337[/ATTACH]
[SIZE=5]unajua huna madaraka hapa? mbona unauingilia sana huu msiba? kwanza wewe si…wala si … wala si … embu ondoka tafadhali[/SIZE]
Mheshimiwa unaonaje huu mzuzu wangu siku hizi?,‘unasemaje wewe’,acha hasira isiwe tabu basi…
:);):p:D:eek: Hmm!.. Ngoja nimezee, maana…
Eti we mdada sugu amekaa wapi?
MBOWE: “…Ndo nakuchana hivyo mamae… hilo libajeti lenu lililopindapinda hata mkilipitisha ahami mtu bongo hii…kawaambie na mafisi wenzio,mmeshatukomaza hadi ndevu zinagoma supablack, simblisi nyie…”
TULIA: “Jomoni Muheshimiwaa…”
MBOWE: “Aaagh! kwenda kule…”
Wabunge wa upinzani watakao kwenda kuchangia damu niiii…
Ntakutwanga…, jaribu!!?
unanipa hinipi?
Unatoa hutoi?
Halafu we kinyang’unya nakumind kishenzi !
Acha kuniletea shobo we choko, nakuangaliaga tu mule ndani. SHUBAMIT!! kunyambegere
ntakulipuaga mimi
Tulia: Jamani Mbowe tangu utoke Jela ndio hutaki tena kutoa nywele za kwenye kidevu?? enewei nakupenda kama ulivyo
Mbowe: Unazengua ujue? ooooohoooooo.