I keep checking here for updates from Admin

Site has been on and off. But mods and admin are quiet. Wotis? We can help too!! I think

We were migrating the server last week, a few challenges here and there but it is being handled, we promise a better experience going forward.

Well that will haooen if you grow your ball back

Worry not about my ball/s, kuna corona.

[ATTACH=full]293350[/ATTACH]

Ambia hiyo ghasia hii Corona inachukua watu wa vipara sana.

Thank you @Mundu Mulosi for your speedy response. We are looking forward to a great experience. Cant wait.

Si you tell us what the real problem is…tujitolee? because houston houston we gorra a big problem and it cannot be denied or fobbed off.

Hii site sijui ni messages zzangu ndo inafanya mafundi washinde na ma repairs

Hii site sijui ni messages zzangu ndo inafanya mafundi washinde na ma repairs

Something like external hard disk ya 160GB imekua heavy to transport. You know with corona and quarantine, it’s hard to carry a hard disk around. Na vile airport zimefungwa

Kwani inabebwa na crane ama wipes ama inawekewa sanitizer ndo isishike ugonjwa

Sema tu ukweli Mundu, hizo upuus za wangapi tumesalimiana ndo wanaua hii site. Hii ingine unasema ni tamthilia

Sema kinono,kijiji iko ngangari