Asprin babe where ever you are Sky Eclat is dying to see your face in here
Anakuja
Madame Your missed…
Karibu huku… Sema tu hapajachangamka kama jf yetu…
tushamiss story zako za kiswazi …
Aisee!
Nipo hapa ingia huku chumbani lakini usiwashe taa. Si unajua huku ugenini?
Duuh! Usijali Dada babu atakuja tu.
Unataka kunigombanisha na bibi eeeh??
Bibi anakudekeza hadi unamdekeza babu
Hahaahaaaa. Babu anadeka kweli
[quote=“theriogenology, post:3, topic:163366”]
Madame Your missed…
Karibu huku… Sema tu hapajachangamka kama jf yetu…
tushamiss story zako za kiswazi …
[/QUOTE
Patachangamka tu,[/QUOTE]
Hi Guys
Nimefurahi kujiunga hapa baada ya kutufungia JF TZ
We are still moving
Thanks
Yule mzee baba asahau kura zetu 2020
Unahatarisha ndoa ya watu ww
Aisee
Punguza wifi wa kiume
Asprin kashakamatwa na watu wasiojulikana
Jamanii mimi G wangu mmenionea huku ama
Kiti inakuja( in wakenya’s voice)
First lady mwenyewe hatompa, iweje sisi…