Hujuma

Sasa wakiwakifunga simmers tutakulia wapi na macho

effidense ama urudi NV

Tuma fare nirudi. Pamoja na ya kutoa

wafunge kabisa:mad::mad::mad:.kuna time flani usiku 2.30 a,m nimeingia ile casino ya 680 kubadilisha centi,same time colleague wa mine hapo nje kwa gari ananingojea akaambiwa atoe gari na ma AP,atoe na asiweke kwa car park ju zimefungwa sababu ya shifty characters with shinny eyes walikua wametarget hio place a few days back with no luck.Yeye huyo akapiga lap ,later akanicall kunishow place amepark,nikafika ,centi kwa bag then shait!!:confused::confused::confused: nimesahau ID hapo kwa counter,nilishachapiwa story ya ma AP so kurudi na gari tena itabakia imekua kichungi.I Decided to walk,gari iko inje ya simmers.got my ID and was walking back,hapo kwa ka space between barabara kulikua na tu miti ,nikifika tu hivi,naskia ‘sasa switii’:p,nikicheki kuna heavywaist wawili nyuma yangu na ka 158mbs mbele yangu.

kuwashow eti ‘apana leo’:cool:,nilibebwa juu juu,:eek::eek::eek:mikono browsing ndani ya mfuko,ilibidi nijiachilie coz kuna time walistab superhero flani hapo,nilipigwa mangoto ju ya kutembea bila centi mfukoni.Nilituliza tu na kutembea like nothing happened:):),nikaingia ndani ya gari nikatupa stori random,boy wangu anauliza ka niko poa namshow niko sawa,kumbe ka afro nilikua nayo iliingia reassignment na ilikua inaangalia nyuma design ya ray parker (poleni watoto hamjui hii)sikujua ikabidi nidanganyane ni hizo ma miti za hapo zilinichanua:rolleyes::rolleyes:

nilishow boy wangu hio story after one year,aliisha yake yote:confused::confused::confused::confused: …Even zile ma guard of honour nilikua nafanya hapo siku za K-street,standard na wabera street niliwacha na kumtambua yesu:D:D…briefly lakini…oh ID iliibiwa:(:frowning: didn’t get a new one till last year …after 8 years;);):wink:

Mbesha ilienda ngapi?

niliweka kwa bag,sikua na wallet hizo time so ka back pack ndio ilikua money bag

Iza jo. Lakini watafunga tu ka za ngong road kidogo uskie zimerudi

Wafunge St Joseph Girls tuwatambue.

hio natoka upper hill monday na kuingia streets kustrike

huko ni wapi tafadhali tuitambue

ha ha ha chaiman unajuwa wewe sio bachelar tena ,what if mama klichy sees u!? Haizuru tuko nyuma yako hapo .

seriously ujui short form ya hiyo jina ama unataka uambiwe sj ndio uelewe

@Female Perspective, ataenda wapi?