Handshake loading!

Ruto reaching out to Raila for a handshake.

What if Raila ampigie simu. Will Ruto answer the phone this time?

Ruto amesema hakuna handshek,labda kikombe ya chai

Alpha Ruto has no time with beta meos.

Too bad that Uhuru and Martha couldn’t give him the joker card to win the game.

Hio kuambiwa kuja tufanye kazi pamoja ni kama vile umetembea kwa wenyewe halafu ikifika time ya kuenda mwenye nyumba anakuambia siulale tu.

Not an option. Ruto clearly stated that he will work with his opponents in the opposition. He clearly understands the mess that Raila would drag into his government.

Nusu mkate hakuna kwa serikali ya dictator Ruto

Ruto alisema hiyo ni ndoto ya mchana buana. Tumebeba mkate full kwa vichwa the whole day to preempt the possibility of mzee wa kitendawili sneaking into government through the backdoor. What would be the use of competitive elections kama mshindi na mshindwa wanagawana serikali? None.