[ATTACH=full]400583[/ATTACH][ATTACH=full]400584[/ATTACH][ATTACH=full]400585[/ATTACH][ATTACH=full]400586[/ATTACH][ATTACH=full]400587[/ATTACH]
Niaje waiter wa whiskey river
Hio pesa si ungebuy tu carpet
Hii nimekubali.
Toa seal na uweke mvinyo mezani sasa.
Niko kwa traffic naLand hapo njogu~ini kwanza nikuwekelee kibare muoto na kahasho unyambe moshi…
mbwakni ii
[ATTACH=full]400591[/ATTACH][ATTACH=full]400592[/ATTACH]
mbona umeweka kwa floor? hauna meza?
Swafi elder
Leo umewacha loaf wapi ?
At least you threw away the plastic cups:D
Enjoy your weekend in style.
Tafuta mrembo umwagie hiyo joto ya JD
ita dem aweke pombe kwa thighs upige picha
Nunua kitanda uwache kulala chini.
Iyo investment yote na hakuna kitu ya kufinya, ingekua poa ukiwa na full package
watu wa maji ya ndimu tunaketi wapi?
Tafuta hii ya Kshs.200,000 kwanza.[ATTACH=full]400615[/ATTACH]
Hahaha huwezi fanya blunder ulifanya last time. Kupiga picha ya mzinga kwa kameza kwa bed shitter. Round hii umeamua huonyeshi anything else in the house. Kwani hakuna lanye mnakata maji naye?