First Thread

Waooh welcome wakuu.

Nipo hapa hapa mkuu

Hahaaa tupieni madude huku

Nimemwambia Demiss ajiunge tumsubiri atuletee mambo

Ngoja tuwasubiri wakina MoneyPenny

Hatimaye tumefika!

Karibu sana mkuu.

DEMISS BABY

Pole pole tutaelewa tu

Tutaisoma namba.

Tukija kwa Majina yetu ya JF itapendeza sana mkuu ili tutambaune mapema.

Au mnataka tumilikishane wabebezi wapya huku, hahahhaaaaa

Hahahahahha nahamia kenya

Aiseeee toto ya kisiiii

Mnapaonaje uhamishoni wakuu ? Poleni kwa safari lakini

:p:p:p:p:p:p:p:p

Hii tunaita kupambana na hali zetu.

Naona huku ugenini mahema yashajengwa tayari sasa tunajichagulia pa kuketi tu

Na kwa kuwa miundombinu ya chakula mara nyingi huwa inakua haijawa tayari kwa vyakula vilivyozoeleka, basi leo tutapata uji. Nimeandaa BAKULI hapa bila kujali kama utaratibu ni kukinga kikombe ama la.

Vyovyote tu kikubwa kifike kinywani

Mara paaap tumehamia Kenya …maisha haya!!!

Wangetuwahisha kidogo tu basi tungekuja na Simba, Yanga na Singida United kwenye yale mashindano yaliyofanyika ‘‘hapa’’ dhidi ya Kakamega na kariobangi…