COMMENT ON YOUR CURRENT LOCATION's SECURITY.

Utawala tuko safe.

2 Likes

Kilifi tuko nice and well, acha nipitie mangweni ninywe mnazi alafu niende mtwapa nikamue poko mmoja

13 Likes

Nyayo Emba safe.
Watu wamerudi back to their hustles.
Siasa iliisha jana

16 Likes

Milimani, violence bado haijafika.

2 Likes

Am pinning this thread.

15 Likes

Juja tuko sawa. Pubs open though.

3 Likes

Mombasa nyali, bamburi safe… @Meria Mata naskia kuna mtu alikatwa huku kisauni…

3 Likes

Rasa chief kwani unaamkia poko mapema aje?

1 Like

Tuko chonjo,just seen this thread somewhere, kumbe tuko pamoja?

1 Like

Bamburi very calm, 50% businesses open. Life slowly coming back to normal

6 Likes

Island, 001 tuko sawa.
Kazi yaendelea polepole.

2 Likes

Mumenyima joho certificate ?

3 Likes

Atapewa tu, mwambie arelax

1 Like

Ngong Road lenana, mambo shwari

2 Likes

mambo ya pwani huwezi yaelewa bwana tuliza matako jamaa

3 Likes

North Rift tuko safe biashara kama kawaida

4 Likes

Ngong kuko sambamba

2 Likes

na hii kijiji haina watu ya kisum?

Duncan khaemba ndani Kilimani police station.

3 Likes

Kasah kila kitu smooth…

1 Like