Coin Operated Laundromat

Hello people,

Kindly help. I am looking for locations with a coin operated laundromat business . Or someone who runs such a business. Asante.

Where are you looking? Newyork, texas, london ama Amsterdam

Oh in Kenya

This used to work when it was a dime a wash…how many coins do you need to wash a load now?

Great observation. But perhaps consumers find it worth it. Not sure. The reason I am seeking to understand more from those operating or using such laundromats.

I only hoped to open your mind to the fact that there could be more modern management solutions…

Food for thought. Thank you.

https://www.facebook.com/laundromatbubbles/

Mkuu

Unge-upgrade hardware yako iwe walao prepaid token operated.

Ambapo utapunguza mechanical breakdowns and ware za hizo shilingi coins na mambo mengine ya ajabu ya kuendesha machines manual namna hiyo!

Ungetakiwa uweke IoT module nzuri kabisa,na UI nzuri ya touchscreen kwa ajili ya kuingiza tokens user apate session ya kufua.

Coins zitaeleta obstacle katika kununua sessions maana ni lazima uwe na coin tuuu!

Inatakiwa mtu aweze kununua session ya kufua kwa mobile money,au hata bank card au hata bank transfer,etc kama ni mfuaji mkubwa,etc!

Coins by itself tayari ni obstacle kimashine na kimanunuzi,etc!

I saw a company advertisement on billboards last year but never visited or found out if they started…

Shukrani…Hizi ni insights za muhimu sana. Kweli coins ni shida… Token ndio future… Umeona mahali wanatumia system kama hii unayoisema?

Alliance Laundry? Can’t find their contacts.

I see normal house machines hadi top loaders, good idea for starters.

Thank you. Do you know whether they are still in business?

Nimeona huku Bongo kwenye hoteli moja…unalipia kwa simu then unaingia kwenye machine interface ku-validate manunuzi yako then mashine inatoa bila shida…

Ila hii sio mashine ya kufulia ni Vending Machine…unaweza nunua soda,condoms,etc!

Iko poa sana…hakuna cha coin wala nini!..Ni simu na Mpesa yako then unaenda kwenye mashine ku-verify manunuzi,bidhaa zinatoka!

Asante Sana… Haya maelezo yako yamenifungua akili

You can have a teller that hands out tokens. Ata pool ilianza ile ya 20 20 skuizi mingi ni token

tutaidunga na kijiko vyenye tulikuwa tunadunga zile simu za Telkom tukiwa highschool

Use tokens instead.

There is one in embakasi. Nyayo estate gate B. Opposite East African School of Aviation