Busara Za..

Kwenye maisha ya sasa, usiruhusu mafanikio yako yakajadiliwa kwenye mitandao, ni rahisi kukuchimba wakajua mapungufu yako na ndiyo ikawa mwanzo wa anguko lako. Kwenye mafanikio yoyote kuna mapungufu na makosa yake. Yakiibuliwa umekwisha, jitahidi sana wasifike huko.