Buloti

Wadau Kuna buloti nmeitiwa na discount huku matuu area 20 by 55 .
Kuna stima na maji bei ya jioni 100/= .
Place iko na wasapere na ni kikundi ya wababa inauza

Utajengea kuku halafu wewe utaishi wapi?

Ni ya kuweka bei ipande niuze .nko na BOMA na several other lands mdau .

Mwenye utauzia atajengea kuku halafu akae wapi?

Take it. An acre was going for 300 kitu 2020. Kwanza hio 100 ni mob