Kwa kweli hizi dialogues za kwenye Bongo Movies ni za kijinga kupita kiasi. Leo nip0 safarini wameweka Movie ya Kigosi. Kigosi anajiita shedrack na amempenda binti anaitwa Tresha. Basi Kigosi humo anaongea utumbo Tena kwa kupayuka hatari. kama alitaka ile iwe movie ya Vichekesho amefeli vibaya maana inaudhi badala ya kuchekesha.
Nashauri bongo movie mtafute watu wa kuwaandikia scripts. Siyo mtu aongee kinachokuja kichwani sehemu kubwa mnaharibu. Pia muongee kwa utulivu, hili ni muhimu sana. mkipayuka mnaudhi sana. mbona kuna zile movie kuhusu madawa ya kulevya za Bagamoyo wametulia na hadi raha kuwasikiliza. Mbona movie za majuto za zamani zile za VHS zilikuwa poa. Badilikeni, mnaweza kuteka soko la movie EA&DRC mkiacha ujinga.
Kwa kweli hizi dialogues za kwenye Bongo Movies ni za kijinga kupita kiasi. Leo nip0 safarini wameweka Movie ya Kigosi. Kigosi anajiita shedrack na amempenda binti anaitwa Tresha. Basi Kigosi humo anaongea utumbo Tena kwa kupayuka hatari. kama alitaka ile iwe movie ya Vichekesho amefeli vibaya maana inaudhi badala ya kuchekesha.
Nashauri bongo movie mtafute watu wa kuwaandikia scripts. Siyo mtu aongee kinachokuja kichwani sehemu kubwa mnaharibu. Pia muongee kwa utulivu, hili ni muhimu sana. mkipayuka mnaudhi sana. mbona kuna zile movie kuhusu madawa ya kulevya za Bagamoyo wametulia na hadi raha kuwasikiliza. Mbona movie za majuto za zamani zile za VHS zilikuwa poa. Badilikeni, mnaweza kuteka soko la movie EA&DRC mkiacha ujinga.
Safarini huwezi ziepuka. Zinafanya safari iwe ngumu. earphones hazifui dafu. Hapa wameweka Nyingine jamaa kapendwa na jini linaitwa Clara linataka kumpeleka bahari ya saba kufunga ndoa. Utafikiri watoto wanacheza kibabababa. Wanatupia na soundtracks za metal!! Kilakitu kipo off.
Mi nashauri hawa jamaa wangekuwa wanatuwekea tu picha za wanyama. Hizi picha watu wote huwa wanazifurahia, pia huwa zinaamsha mazungumzo. Mabongo movies ni kudumazana akili. Kama ni mtu wa kusafiri mara kwa mara hizi bongo movies ni nuisance kuliko safari yenyewe.