Best budget laptop

Vipi wadau,hivi karibuni nataka kununua laptop ambayo nitaweza kusoma python for Data science,hivi nauliza ni wapi naeza pata kifaa bora zaidi na bei murwa?Nasema haya nikilenga haswa @nobert @Demakuvu @entertainedd na @Vin Diesel98 kwa wosia waliotoa awali kuhusu “computer shops and outdated items”.Sina maarifa yoyote katika bei poa, RAM,ssd, duo,core…kuna mtu alitaja kuhusu hata elfu 9,kweli yaeza kunifaidi kweli kweli…asanteni Sana.

9k for a laptop? Ama ni kiswahili chako sijaelewa? Instead of buying trash in the name of a laptop, better get a Raspberry Pi for that amount, and a TFT screen and do all your hacking from there and still remain with some pocket change. Payload ziko GitHub mob sana. That’s if you’re serious with Python. What I’m saying you don’t need some old core2duo 1GB Ram PC to learn low level language. Need serious hardware hacking stuff I got it, not for cheap thou.

9k walikuwa wakiongelea desktop pc
kama huhitaji kukuwa mobile, desktop ya 10k na peripherals za 4k uko sawa

ThinkPad yyote itakufaa

9k tafuta tu CPU ex UK pekee, iko na 4GB Ram, 500GB hdd na kitu 3Ghz hapo River Road na Moi Drive imeshikana

Do you know the exact place I can get the best deal that’s the most fundamental question

I want to be mobile

Where would you I advice I go check am very serious about dwelling deep into python

9k na data science haziwezi kua kwa sentence moja unless ni currency ingine higher than kes…for you to get a peace of mind you’ll need at least 8gb of ram na probably 500gb hard drive otherwise some of the libraries you’ll encounter kama tensor flow na keras will drive your machine to it’s death ,an additional graphics card will also be good but it’s not a must so hapo ongezea budget kidogo

@Nicky Adams @imei2012 @Nyamgondho anything on this?

Okay… ngapi hivi na wapi?

Labda ununue a very basic mini tower and the wor your magic to convert it into something that is portable with a bag than can carry a battery pack and a basic TFT screen.

an i5 should cost from 25k onwards ,shop depends na kule uko,there was a thread here that talkers suggested Mombasa computers and yellow apple technologies but you can research more

Been out of the game for awhile siwezi juu machines ziko kwa market but last i checked any i3 or i5 kuanzia 7th gen(kenya 8th gen and above either ziko few ama extremely expensive) plus min 8gb ram would give you a good run. All the best

Enda Jamia mall hautakosa laptop refurb aka “UK used” but budget yako iwe at least 20k…9k pengine desktop.

Data sc

data science needs a serious machine because utakua ukiread na kuwrite several lines to even thousands of lines while working with datasets. There’s no two ways about it, ukitaka kufanya data science utanunua well equipped laptop.

@Fahad Sahab mpenzi,ongeza kama 16k kwa hiyo budget yako upate laputopu ya maana

Hiyo mpenzi nikama it sounds ngey.

@Fahad Sahab said am geey,tunajuana kwa vilemba